Chorus
{ Bwana ni ngome yangu na nguvu yangu
Bwana ni nuru yangu nimwogope nani? } *2
Verse 2
Watesi wangu na pia adui zangu
Waliponikaribia wakaanguka
Verse 3
Hata kama nikizungukwa na majeshi
Sitaogopa vita sitakufa moyo
Verse 4
Jambo moja ningemwomba Mwenyezi Mungu
Nikae nyumbani mwake siku zote
Verse 5
Niuone uzuri wa Mwenyezi Mungu
Nikatafakari hekaluni mwako
Verse 6
Nami nitawashinda maadui zangu
Nitamshangilia hekaluni mwake