Bwana Ni Nani

Ordinary TimeSign of Peace
Chorus

[t] Bwana ni nani atakayekaa katika hema yakon[w]Bwana ni nani atakayekaa katika hema yako

Nani atakayefanya maskani yake katika kilima chako

Yeye aendaye kwa ukamilifu pia na kutenda haki

Verse 2

[s/a] Maskani zako zapendeza kama nini

Ee Bwana wa majeshi *2 (A/T/B): A...min *2)

Verse 3

[t/b] Heri wakaao nyumbani mwako

Daima wanakuhimidi *2

Verse 4

[s/a] Hakika siku moja, siku moja katika nyua zako *2

Verse 5

[t/b] Ni bora kuliko siku elfu, bora kuliko elfu *2