SectionsPrayers of the FaithfulBwana Ni Mchunganji Wangu

Bwana Ni Mchunganji Wangu

Ordinary TimePrayers of the Faithful
Verse 1

Bwana ni mchungaji wangu,nsitapungukiwa kitu,nhulaza kwenye majani mabichinhunongoza kwa maji matulivunhunihuisha nafsi yangu,nhuniongoza kwa njia za haki,nnipitapo bondeni mwa mauti,nsitaogopa wewe u nami

Chorus

Hakika wema nazo fadhili, zita nifuatanmimi, nitakaa Nyumbani mwa Bwana,nsiku zote za maisaha yangu

Verse 3

Gongo lako na Fimbo yako,nvinanifariji mimi,nhuandaa meza mbele yangu,nmachoni pa watesi wangu