Verse 1
Bwana ni mchunga, sitahitaji.
Majani mabichi, malisho yangu.
Ananinywesha maji matulivu
Atanirudisha nikipotea
Verse 2
Nipitapo bondeni mwa mauti,
U mlinzi wangu, sitaogopa.
Fimbo lako latosha kunilinda.
Ukinifariji sina hasara.
Verse 3
Kati ya mateso meza waandaa
Na kikombe changu kinafurika
Umenipaka kichwani mafuta.
Nitaulizaje zaidi kwako.
Verse 4
Wema na fadhili vinifuate
Siku zangu zote, hata milele.
Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana.
Katika ufalme wa pendo lake.n