SectionsExitBwana Ndiye Mchungaji

Bwana Ndiye Mchungaji

Ordinary TimeExit
Chorus

Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa (mimi)

Katika majani mabichi Bwana hunilazan(Kando ya maji yenye utulivu huniongoza x2)

Verse 2

Huihuisha nafsi yangu na kuniongoza

Kwenye njia za haki, kwa jina lake x2

Verse 3

Umeandaa meza mbele yangu ee Bwana

Umeandaa machoni pa watesi wangu x2

Verse 4

Umenipaka mafuta kichwani pangu Bwana

Kikombe changu kimejaa kinafurika x2

Verse 5

Wema wako fadhili zako zitanifuata,

Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana millele x2n