Verse 1
{Bwana ndiye mchungaji wangu.n
Bwana ndiye mchungachi wangu, sitapungukiwa na kitu} *2n(Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,nkando ya maji utilivu huniongoza) *2
Verse 2
{Huandaa meza mbele yanguâ.
Huandaa kmeza mbele yangu , machoni pa watesi wangu }*2n(Umenipaka mafuta kichwani pangu,nna kikombe change kinafurika) *2
Verse 3
{Hakika wema na fadhili..
Hakika wema na fadhili zitanifuata siku zote} *2n( Zitanifuata siku zote za maisha yangu,nnami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele) *2
Verse 4
{Katika njia za haki..
Katika njia za haki sitaogopa mabaya} *2n(Kwa maana wewe upo pamoja nami,ngongo lako na fimbo yako vyanifariji )*2n