SectionsEucharistBwana Nakushukuru

Bwana Nakushukuru

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Bwana nakushukuru asante *2

Pendo lako kwangu kubwa sana *2

Chorus

Umenilisha mwili wako na damu yakon(Bwana) ili ni nipate uzima wa milelen(Ewe) Bwana nakushukuru asante

Nitakulipa nini mimi kwa mema yote ambayo wanijalia

Bwana nakushukuru asante

Verse 3

Bwana nakushukuru asante *2

Kwani umenilisha mwilio *2

Verse 4

Bwana nakushukuru asante *2

Kwani umeninywesha na damuyo *2