SectionsExitBwana Mungu Aliona

Bwana Mungu Aliona

ChristmasExit
Verse 1

Bwana Mungu aliona Mwanakondoo apotea

Kwa upendo akamtoa Mwana wake wa pekee

Chorus

Alelu - aleluya kazaliwa

Yesu mwa - Yesu Mwana wa Pekee

Bethlehe - Bethlehemu amelazwa

Mama - Mamayo Maryamun

Verse 3

Lile neno lilikuwa maandishi yanenavyo

Na kwa yeye vitu vyote vikapata kuwepo

Verse 4

Siku Yesu alizaliwa watu wote walishangilia

Wakasema huyu mfalme Mwokozi wa dunia