SectionsEucharistBwana Moyo Wangu

Bwana Moyo Wangu

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Bwana moyo wangu hauna kiburi nayonmacho yangu hayainuki x2

Wala siji shugulishi na mambo makuunyanayozishinda nguvu zangu x2

Verse 2

Hakika nimetiliza nafsi yangunna pia kuinyamazisha..

Verse 3

Kama mtoto aliyeachishwanziwa kifuani mwa mama yake.

Verse 4

Bwana raha yangu iliyo kwangunmimi tangu leo na hata milele.