Chorus
{Bwana Mfalme ameketi milele (Bwana)
Atawabariki watu wote kwa amani } * 2
Verse 2
Atawala Duniani na Mbinguni
Toka mto hata kingo za dunian
Verse 3
Na wafalme wote watamwabudia
Mataifa yote yatamtumikia
Verse 4
Utawala, utawala wa milele
Ni ufalme wenye kudumu milele