Bwana Kote Ninakotazama
Ah-ah, ah-ah-ah! - ah-ah, ah-ah-ah! *2
Bwana kote ninakotazama, nauona uwezo wako *2n{ Bwana kote ninakotazama,
Nauona uwezo wako na mkono wako ewe Mungu wa majeshi,
Ninakotazama nauona uwezo wako! } *2
Bwana kote ninakotazama, Bwana { ninakotazama } *3
Ah-ah, ah-ah-ah!
Bwana kote ninakotazama,
Nauona uwezo wako na mkono wako ewe Mungu wa majeshi,
Nikitazama nauona uwezo wako ewe Mungu wa majeshi,
Aaah aaah aaah . . .
Nikitazama mabonde na miliman(Ah-ah, uh-uh-uh, naona uwezo wako)
Nikitazama mito na baharin(Ah-ah, uh-uh-uh, naona uwezo wako)
Nikitazama samaki na ndege wa angani
Ah-ah, uh-uh-uh, naona uwezo wako -oh
Ah-ah, uh-uh-uh, naona uwezo wako -oh
Vi-umbe vya dunia, vyatangaza utukufu wako
Sayari, jua nyota na mwezi, vyatangaza utukufu wako
Na vyo-te ulivyoumba, vyatangaza utukufu wako
Nasi sote kwa nyimbo pia vigelele, tuutangaze utukufu wako
Bwana kote ninakotazama, (Ninakotazama) *3
Nauona uwezo wako na mkono wako ee Mungu wa Majeshi,
(Bwana) *6 ninakotazama nauona uwezo wako na mkono wako
Oh oh oh *5
Kote ninakotazama *3
Nauona, u-we-zo wa-ko!