SectionsEntranceBwana Kama Wewe

Bwana Kama Wewe

Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,AdventEntrance
Chorus

Bwana kama wewe ungehesabu maovunyetu, nani angesimama *3 mbele yako

Verse 2

Lakini kwako kuna msamaha,

Ili wewe uogopwe, nimemungoja Bwana

Roho yangu, na neno lake nimelitumaini

Verse 3

Nafsi yangu inamngoja Bwana

Kuliko walinzi walinzi waingojavyonasubuhi Naam walinzi wangojavyo asubuhi

Verse 4

Ee Bwana toka vilindini nimekulilia

Bwana sauti yangu usikie

Masikio yako yasikie dua zangu