Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu
LentBible Procession
Chorus
Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu,
Nani angesimama, nani angesimama
Nani angesimama mbele yako
Verse 2
Lakini kwako kuna msamaha, ili wewe uogopwe,
Nimemungoja Bwana, Roho yangu
Na neno lake nimelitumaini
Verse 3
Nafsi yangu inamngoja Bwana, kuliko walinzi
Walinzi waingojavyo asubuhi
Naam walinzi wangojavyo asubuhi
Verse 4
Ee Bwana toka vilindini, nimekulilila
Bwana sauti yangu usikie
Masikio yako yasikie dua zangu