Chorus
Bwana awabariki, Bwana awabariki
Bwana awabariki milele
Verse 2
Ukimcha Mungu - Bwana awabariki
Na kutembea -
Pamoja naye -
Heri ni yako -n
Verse 3
Na mke wako -
Atastawi -
Kama mzabibu -
Wenye matunda -
Verse 4
Watoto wako -
Watafanana -
Na machipuko -
Ya mzeituni -n
Verse 5
Ubarikiwe -
Kutoka Saioni -
Maishani mwetu -
Amani kwako -