SectionsEucharistBwana Atuita

Bwana Atuita

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Bwana atuita - Bwana Yesu atuita

Tujongee mbele yake tukampokee

Verse 2

Mwili wako ee Bwana damu yako ee

Bwana yatushibisha roho zetu

Verse 3

Karamu yako ni chakula cha kweli,

Karamu yako ni kinywaji cha kweli

Verse 4

Karamu yako ni kumbukumbu ya mateso

Karamu yako ni karamu ya sadaka

Verse 5

Karamu yako ni mwanakondoo wa kwelinwa sadaka

Karamu yako ni maana kweli katika safari yetu

Verse 6

Karamu yako ni imani ya ufufuko wako

Karamu yako ni mfano wa karamu ya mbinguni

Verse 7

Karamu yako ni dawa ya udhaifu wetu

Karamu yako ni malisho ya mchungaji