Chorus
Bwana Atakufunika kwa manyoya yake
Bwana Atakufunika kwa manyoya yaken{ Chini, chini chini chini,
Chini -chini ya mbawa zake *2
Utapata kimbilio kiimbilio } *2
Verse 2
Mabaya hayatakupata wewe,
Wala tauni haitakaribia hema yakon
Verse 3
Atakufunika kwa manyoya yake,
Chini ya mbawa zake, chini utapata kimbilio, kimbilio
Verse 4
Atakuagizia malaika,
Uwepo safarini, kweli, wakulinde katika njia zako zote