SectionsExitBwana Asema Mimi Ni Wokovu

Bwana Asema Mimi Ni Wokovu

Ordinary TimeExit
Chorus

{Bwana asema mimi ni wokovu wa watu

Wakinililia katika taabu yoyote

Nitawasikiliza nami nitakuwa Bwana wao milele} * 2

Verse 2

Ewe Bwana uliirithia nchi yote

Umewarejesha mateka wa Yakobo

Verse 3

Umeusamehe uovu wa watu wako

Umezisitiri hatua zao zote