Chorus
Bwana anakuja, anakuja kwetu anakuja *2
Tengenezeni njia yake yanyosheni mapito yake
Anakuja kutukomboa *2
Verse 2
Waambieni wanaokufa moyo, anakuja msiogope
Bali jipeni moyo anakuja
Verse 3
Furahini wote katika Bwana, anakuja
Anakuja naye hatakawia, anakuja
Verse 4
Afikapo Bwana na malaika, anakuja
Kiti cha enzi atakikalia, anakuja
Verse 5
Mataifa yote yatakusanywa, anakuja
Mbele yake Bwana hakimu wao, anakuja