SectionsExitBwana Amenitendea

Bwana Amenitendea

Ordinary TimeExit
Chorus

|s| Bwana amenitendea mambo ya ajabunmambo makuu sana

Amenitendea ya ajabu makuun|a| Bwana amenitendea mambo ya ajabu makuu sanan[t] Bwana ametenda haya . . .n|w| Ametenda kwa mkono wake wenye nguvun[b] Bwana ametenda,n[w] Amenitendea haya kwa huruma yake.

Verse 2

Ameniepusha na magonjwa mengi -nkwa nini nisimshukuru Mungu wangu

Ameniepusha na ajali nyingi -n

Verse 3

Amewashinda maadui zangu wote -

Amenipa ulinzi wa malaika zake -

Verse 4

Amenipa uhai bila ya gharama -

Amenipa neema na baraka tele -