Bwana Amejaa

Ordinary TimeThanksgiving
Chorus

Bwana amejaa huruma (amejaa),

Bwana amejaa huruma na neema

Verse 2

Ee nafsi yangu umhimidi Bwana,

Na vyote vilivyomo ndani yangunvilihimidi jina lake takatifun

Akusamehe maovu yako, akuponyenmagonjwa yako yote, akutie taji yanfadhili na reheman

Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki,nna hukumu kwa wote wanaoonewa, anlimjulisha Musa njia zake

Bwana amejaa huruma na neema, haoninhasira upesi, ni mwingi wa fadhili nanrehema