SectionsExitBwana Amejaa Huruma

Bwana Amejaa Huruma

LentExit
Chorus

Bwana amejaa huruma na neema

Haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili

Maana Mbingu zilivyoinuka juu ya nchi

Kadiri ile ile, rehema zake ni kuu kwa wamchao

Verse 2

Ee nafsi yangu umhimidi Bwana

Na vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi Jina lake Takatifu

Ee nafsi yangu umhimidi Bwana

Wala usizisahau fadhili zake zote

Verse 3

Akusamehe maovu yako yote

Akuponya magonjwa yako yote

Aukomboa uhai wako na kaburi

Akutia taji la fadhili na rehema

Aushibisha neema uzee wakon

Verse 4

Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki

Na hukumu kwa wote wanaoonewa

Alimjulisha Musa njia zakenna wana wa Israeli matendo yake

Wana wa Israeli matendo yake