Chorus
Bwana amefufuka kweli kweli aleluya *2
Utukufu na ukuu una yeye hata milele na milele *2
Verse 2
Nimefufuka na bado ningali pamoja nawe
Verse 3
Umeniwekea mkono wako
Verse 4
Maarifa hayo ni ya ajabu aleluya
Verse 5
Aleluya, aleluya, aleluya, aleluyan