Bwana Alitutendea Mambo Makuu
Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Bwana alitutendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuuntulikuwa tukifurahi tukifurahin(Tulikuwa tukifurahi) tulikuwa tukifurahi
Alitutendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuu
Tulikuwa tukifurahi tukifurahin(Tulikuwa tukifurahi) tulikuwa tukifurahi
Verse 2
Bwana alipowarejesha mateka wa sayuni
Tulikuwa kama waotao ndoto
Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko
Na ulimi wetu kelele za shangwe
Verse 3
Ndipo waliposema katikati ya mataifa
Bwana amewatendea mambo makuu
Bwana alitutendea mambo makuu
Tulikuwa tukifurahi
Verse 4
Bwana uwarejeshe watu wetu waliofungwa
Kama vijito vya kusini
Wale watu wapandao kwa machozi
Watavuna kwa kelele za shangwe