Chorus
Bwana aliridhika kumchubua, amemhuzunisha
Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu, dhabihu kwa dhambinn{Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi
Na mapenzi ya Bwana yatafanikiwa mkononi mwake } *2
Verse 2
Ataona mazao ya taabu ya nafsi yake
Na kuridhika, na kuridhika
Naye atayachukua maovu yao
Verse 3
Kwa maarifa yake mtumishi wangu
Ataridhika, ataridhika
Naye atafanya wengi kuwa wenye haki