SectionsEucharistBwana Alipokwisha Batizwa

Bwana Alipokwisha Batizwa

BaptismEucharist
Chorus

{ Bwana alipokwisha kubatizwa, mbingu zikamfunukia,

Roho akashuka, kwa mfano wa hua na kukaa juu yake } *2

Verse 2

{ Na tazama sauti ya Baba ikanena,

Huyu ni mwanangu mpendwa wangu, ninayependezwa naye } *2