SectionsEntranceBwana Alipoingia

Bwana Alipoingia

EasterEntrance
Chorus

Bwana alipoingia, katika mji mtakatifu

Watoto wa Mayahudi - walimlaki Bwana

Wakichukua matawi - ya mizeituni

Wakisema hosanna, hosanna, hosannanjuu hosanna juu mbinguni *2

Verse 2

Wakatandaza na nguo zao wakimlaki Bwana

Verse 3

Hosanna hosanna juu mbinguni hosanna mbinguni

Verse 4

Mbarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana