Chorus
{Bwana aliniambia, ndiwe mwanangu,nmimi leo nimekuzaa leo, nimekuzaa leo }* 2
Verse 2
Wafalme wa dunia wanajipanga na wakuu,
Wanafanya shauri pamoja juu ya Masiha wake.
Verse 3
Yeye anayeketi huko mbinguni anacheka,
Naye Bwana anawafanyia dhihaka hao wafalme.
Verse 4
Bwana aliniambia ndiwe mwana wangu,
Mimi nimekuzaa leo, nimekuzaa leo.
Verse 5
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu,
Kama mwanzo, sasa na siku zote milele amina.