Chorus
Bwana alikuwa tegemeo, langu langu *2
Akanitoa kanipeleka panapo nafasi nafasi
Akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami
Verse 2
Bwana alinitendea, sawasawa na haki yangu,
Maana nimezishika njia zake wala sikumwasi Mungu.
Verse 3
Nimeshika maagizoye, sikuacha na amri zake
Mbele za Bwana sikuwa na hatia nikalinda wema wangu,n
Verse 4
Atukuzwe Baba na Mwana, naye Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele amina