SectionsExitBustani Getsameni

Bustani Getsameni

LentExit
Verse 1

Bustanini Getsameni, Yesu akaanguka kifudifudi, akaomba

Chorus

{ Baba yangu ikiwezekana kikombe hiki kiniepuke

Lakini si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe} *2

Verse 3

Akawachukua na wale wana wawili wa Zebedayo

Akaanza kuhuzunika na kusononeka

Verse 4

Roho yangu ina huzuni, roho yangu ina huzuni

Roho yangu ina huzuni, kiasi cha kufa