Verse 1
Binadamu, binadamu ni mavumbi
Mavumbini - mavumbini atarudi
Chorus
Na tukifika - huko tutaimba aleluya
Makao - makaoni ya raha, ya raha (na starehe)
Yako huko Mbingunin
Verse 3
Mwili wake - Mwili wake hukauka
Hukauka - kama ua la bondeni
Binadamu, binadamu ni mavumbi
Mavumbini - mavumbini atarudi
Na tukifika - huko tutaimba aleluya
Makao - makaoni ya raha, ya raha (na starehe)
Yako huko Mbingunin
Mwili wake - Mwili wake hukauka
Hukauka - kama ua la bondeni