SectionsEucharistBinadamu Inama Kichwa

Binadamu Inama Kichwa

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Binadamu inama kichwa, umwabudie Mungu mtu

Hapa yupo ajapofichwa, ameshuka chini kwetu *2

Verse 2

Kwa macho yetu hatuoni, ila maumbo ya mkate

Hakuna ta mkate lakini, mwiliwe twakiri sote *2

Verse 3

Kukaa nasi umetaka, Rabbi mwema mpenda watu

Kwa tamaa nyoyo zawaka, njoo basi shuka kwetu *2