SectionsExitBikira Maria Uliyekingiwa

Bikira Maria Uliyekingiwa

Marian,Marian,Marian,MarianExit
Chorus

Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asilin(ee mama) (utuombee (sisi) kwa mwanaon(mpenzi) Yesu Kristu aliye mbinguni.) *2n

Verse 2

Dhambi ya asili hukuipata, ili uzaenmwana wa Mungu.

Verse 3

Wewe wasifwa ulimwenguni, nanmalaika wanakusifu.

Verse 4

Kichwa cha shetani wakikanyanga,nwewe ni mshindi wa hila zake.

Verse 5

Utusaidie katika shida, usituachentuangamie.

Verse 6

Uisimamie safari yetu, ya kwendankwake Mungu mbinguni.