SectionsExitBikira Mama Wa Yesu

Bikira Mama Wa Yesu

Ordinary Time,MarianExit
Chorus

Bikira mama wa Yesu tunakusalimu

Pokea zetu salamu mama yetu mweman{Sisi wanao twakulilia mama yetu Maria

Twahangaika bondeni huku kwenye machozi

Utuokoe Mama, kwenye mateso ha-ya} * 2

Verse 2

Tuombee Mama kwa Mwanao Yesu Kristu

Sisi wakosefu yafute makosa yetu

Verse 3

Mama yetu mwema njoo ukae na sisi

Njoo utulinde na maadui wabaya

Verse 4

Fukuza shetani asitutie gizani

Njoo njoo mama wanao twaangamia