Chorus
Bikira fumbo la waridi (kioo cha haki)n(Bikira Amin) tuombee neema
Mbinguni (sisi) Kristu Mwanao atupeleke
Verse 2
Na twende kwa Mama Maria (sote)
Twende tupate neema tuishi kwa Baba milelen
Verse 3
Mama wa Muumba wetu (kweli)
Bikira mwenye heshima aah tuombee dhambi tutubu
Verse 4
Bikira mwenye sifa aah (kweli)
Usiye na doa aah tuombee tu wakosefu
Verse 5
Malkia wa mabikira (kweli)
Waridi lenye fumbo ooh tuombee wakosefu
Verse 6
Bikira Mtakatifu (kweli)
Mama Mpendelevu twalia Mwanao Yesu