Beba Mikononi
Ordinary TimePresentation of Gifts
Verse 1
Tusimame ndugu twende kwake Bwana (kweli)
Usisite ndugu amka twende hima
Chorus
Beba mikononi (mwako) uliyojaliwa
Peleka kwa Bwana, upate Baraka
Verse 3
Peleka kwa moyo, moyo wa mapendo (kweli)
Peleka kwa Bwana uliyojaliwa
Verse 4
Sadaka ya fedha, fedha za mifuko (ndugu)
Amka upeleke mezani kwa Bwana
Verse 5
Mavuno mifugo, ni mali ya Bwana (kweli)
Tupeleke kwake atazipokea
Verse 6
Mkate divai tupeleke kwake (leo)
Tupate baraka mbele zake Bwana
Verse 7
Twende ndugu twende, mbele zake Bwana (twende)
Tupeleke nafsi zetu kwake Bwana