Verse 1
Yesu alipita mji wa Jeriko
Yesu aliponya wagonjwa kwa neno
Chorus
Bathilimayo - alikaa njiani
Bathilimayo - akiomba Mungu
Bathilimayo - aliposikia
Huyo Yesu - mwana wa Daudi
Alikuwa - akiwangojea
Alikuwa - akiwahubiria *2
Verse 3
Enyi wanadamu wenye roho ngumu
Leo mko wapi njooni mkaponywe
Verse 4
Yesu alisema pale msalabani
Yote yamekwisha akakata roho