SectionsEucharistBaraka Za Mungu

Baraka Za Mungu

Ordinary TimeEucharist
Chorus

{Baraka za Mungu leo zinashuka,nzinashuka zinashuka }*2

Tunaimba, tunaimba, twashukuru Mungu Baba

Kwa heshima, sakramenti, nafurahia Mkatoliki

Verse 2

Sakramenti ya kitubio, tunatubu

Sakramenti ya ekaristi mwili wake,

Nafurahia mkatoliki

Verse 3

Sakramenti ya ubatizo, twaokoka

Twapata na Kipaimara tuna nguvu, . . .

Verse 4

Sakramentini ya daraja pia ndoa

Twapata pia na mapadri na masista, . . .