Chorus
{ Bali mimi nkutazame uso wako (katika haki)
Niamkapo nishibishwe kwa sura yako } * 2
Verse 2
Ee Bwana usikie haki ukisikilize kilio changu
Utege sikio lako kwa maombi yangu
Verse 3
Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako ee Bwana wangu
Hakika hatua zangu hazikuondoshwa