Chorus
Kweli bahati iliyoje kujongea meza ya Bwanan{(Ninapo) ninapokula mwili wa Bwanan(ninapo) ninapo kunywa damu ya Bwananninapata furaha kubwa amani rohoni mwangu} *2
Verse 2
Niulapo mwili wake Bwana, niunywapo damu yake Bwana,
Napata furaha na amani rohoni mwangu
Verse 3
Tule mwili wake Bwana Yesu, tunywe damu yake Bwana Yesu
Nyoyo zetu zitajawa neema na mwanga wa milele