Verse 1
Hii ndiyo siri ya maisha mema,nna tena utamu wa kumjua Yesu
Bahati kaacha karamu kubwa
Chorus
(Bahati bahati nayo imwangukie nani Bahatinbahati aliyeipata ni nani imeandaliwa kwanwote wenye moyo saf. Simama uonje na!nmoyo wako utasisimka ) x2
Verse 3
Wateule mbona mnasitasita,
Hana ubaguzi wote awaita
Bahati kaacha karamu kubwa
Verse 4
Kama una dhambi nenda ukatubu,
Bwana hakatai mtu atubupo
Bahati kaacha karamu kubwa
Verse 5
Kama u mgonjwa, Bwana anaponya,
Kama una njaa utapata shibe
Bahati kaacha karamu kubwa
Verse 6
Yote ya dunia yakikukabili,
Piga moyo konde, nenda kwake Bwana
Bahati Kaacha karamu kubwa.