Chorus
{ Bado nahitaji (nahitaji) kufanya bidii
Bado nahitaji kufanya bidii kwa kuwa } *2nsina cha kujivunia mbele za Bwanan{ Nikitazama matendo yangu na mawazo yangu
Si kitu mbele za Bwana hata anitazame } *2
Verse 2
Nayatolea maisha yangu kuleta amani
Maelewano palipo na utengano
Verse 3
Uniwezeshe ee Mungu wangu niwalete kwako
Wale ambao bado hawajakujua
Verse 4
Hata nikifanya hivyo bado, sioni lolote
Niongoze nifanye mapenzi yako