Baba Yetu
Ordinary TimeSign of Peace
Chorus
Baba yetu wa Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako na ufike
Utakalo lifanyike
Verse 2
Dunia kama Mbinguni
Utupe leo mkate wetu
Mkate wetu wa kila siku (Baba-)
Verse 3
Tusamehe makosa yetu (Baba)
Kama vile twawasamehe (wale)
Waliotukosea sisi (Baba-)
Verse 4
Situtie majaribuni (Baba)
Walakini utuopoe (kweli)
Maovuni utuopoe (Baba -)n
Verse 5
Kwa kuwa ufalme ni wako (Baba)
Pia nguvu na utukufu (kweli)
Utukufu hata milele (Baba-)