Chorus
Baba Yetu wa Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako na ufike
Utakalo lifanyike
Duniani kama mbinguni
Verse 2
Duniani kama mbinguni - utakalo lifanyike
Utupe leo mkate wetu -
Mkate wetu wa kila siku -
Verse 3
Tuondolee makosa yetu -
Kama tunavyowasamehe -
Wale waliotukosea sisi -
Verse 4
Usitutie vishawishini -
Maovuni utuopoe -
Maovuni utuopoe -
Verse 5
Kwa kuwa ufalme ni wako -
Na nguvu nao utukufu -
Utukufu hata milele -