SectionsEucharistBaba Yetu Wa Mbinguni

Baba Yetu Wa Mbinguni

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Baba Yetu wa Mbinguni

Jina lako litukuzwe

Ufalme wako na ufike

Utakalo lifanyike

Duniani kama mbinguni

Verse 2

Duniani kama mbinguni - utakalo lifanyike

Utupe leo mkate wetu -

Mkate wetu wa kila siku -

Verse 3

Tuondolee makosa yetu -

Kama tunavyowasamehe -

Wale waliotukosea sisi -

Verse 4

Usitutie vishawishini -

Maovuni utuopoe -

Maovuni utuopoe -

Verse 5

Kwa kuwa ufalme ni wako -

Na nguvu nao utukufu -

Utukufu hata milele -