Chorus
Baba yetu wa mbinguni Baba
Jina lako litukuzwe [Baba]
Utakalo lifanyike *2n
Verse 2
Duniani kama Mbinguni - Baba utakalo lifanyike
Utupe leo mkate wetu-
Mkate wetu wa kila siku-
Verse 3
Tusamehe makosa yetu -
Kama vile twawasamehe -
Waliotukosea sisi -n
Verse 4
Situtie vishawishini -
Walakini utuopoe -
Maovuni utuopoe -
Verse 5
Kwa kuwa ufalme ni wako -
Na nguvu na utukufu -
Utukufu hata milele -