SectionsEucharistBaba Yetu Uliye Mbinguni

Baba Yetu Uliye Mbinguni

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Baba yetu uliye Mbinguni,

Jina lako litukuzwe *2

Ufalme wako ufike,

Utakalo lifanyike duniani kama Mbinguni *2

Verse 2

Utupe leo mkate wetu wa kila siku,nutusamehe makosa yetu

Verse 3

Kama tunavyowasamehe,

Na sisi wanaotukosea

Verse 4

Usitutie katika vishawishi,

Lakini utuopoe maovuni

Verse 5

Kwa kuwa ufalme ni wako,

Na nguvu na utukufu hata milelen