SectionsEucharistBaba Yetu (Mt.Gregory Misa)

Baba Yetu (Mt.Gregory Misa)

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Baba yetu wa mbinguni,jina lako litukuzwe,n`falme wako na ufike, utakalo lifanyike x2.

Verse 2

Duniani kama mbinguni u-tupe leo mkate wetunm-kate wetu wa kila siku (Baba)

Verse 3

Tusamehe makosa yetu (Baba) kama vile twawasamehen(wale) waliotukosea sisi (Baba)

Verse 4

Situtie majaribuni (Baba) walakini utuopoen(kweli) maovuni utuopoe (Baba).

Verse 5

Kwa kuwa ufalme ni wako (Baba) pia nguvu na utukufun(kweli) utukufu hata milele (Baba).