Chorus
[v:] Baba yetun[w:] Baba yetu uliye mbinguni *2n
Verse 2
Jina lako litukuzwe, Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike, Duniani kama mbinguni
Verse 3
Tupe leo riziki zetu, riziki za kila siku,
Tusamehe makosa yetu,nkama tunavyowasamehe, nasi waliotukosea
Verse 4
Situtie majaribuni, walakini utuopoe
Tuopoe maovuni, tuopoe maovuni
Verse 5
Kwa kuwa falme, ufalme ni wako
Na nguvu, utukufu milele
Utukufu milele, utukufu milele