SectionsEucharistBaba Yetu (Misa Mwanda)

Baba Yetu (Misa Mwanda)

Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Baba yetu uliye mbinguni -

Mbinguni Baba yetu, uliye mbinguni

Jina lako, Baba litukuzwe -

Litukuzwe, jina lako Baba litukuzwe

Ufalme wako Baba utufikie -

Fikie, ufalme wako Baba utufikie

Utakalo -

Lifanyike duniani kama mbinguni *2

Verse 2

Utupe leo mkate wetu wa kila siku -

Kila siku utupe leo mkate wetu wa kila siku

Utusamehe makosa yetu -

Yetu utusamehe makosa yetu

Tusameheavyo na sisi -

Na sisi waliotukosea

Verse 3

Usitutie katika kishawishi -

Kishawishi usitutie katika kishawishi

Lakini -

Utuopoe maovuni. Amina. Amina

Verse 4

Kwa kuwa falme ni wako ee Baba

Ee Baba kwa kuwa falme ni wako ee Baba

Nguvu na -

Utukufu na hata milele *2