Chorus
Baba yetu uliye Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike utakalo lifanyiken
Verse 2
Duniani kama Mbinguni - utakalo lifanyike
Tupe leo mkate wetu -
Mkate wetu wa kila siku -
Verse 3
Tusamehe makosa yetu -
Kama vile twawasamehe -
Waliotukosea sisi -n
Verse 4
Situtie majaribuni -
Walakini utuopoe -
Maovuni utuopoe -
Verse 5
Kwa kuwa ufalme ni wako -
Na nguvu na utukufu -
Utukufu hata milele -