Chorus
Baba yetu Baba uliye mbinguni
Jina lako Baba litukuzwen
Verse 2
Na ufalme wako Baba uje kwetu
Na mapenzi yako Baba yatimizwe
Verse 3
Tupe leo mkate wetu wa kila siku
Mkate wetu Baba tupe kila siku
Verse 4
Na utusamehe Baba, tusamehe
Kama tufanyavyo Baba kwa wenzetu
Verse 5
Situtie Baba kwenye kishawishi
Bali utuopoe Baba maovuni
Verse 6
Ufalme na nguvu hata utukufu
Vyote vyako Baba hata milele